STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, May 21, 2013

MKALI WA RHYMES  PROF. JAY AAMUA KUMFUATA SUGU CHADEMA

 Wanachama wapya wa Chadema, Joseph Haule maarufu Professa Jay (katikati)  na mwenzake Levison Kasulwa maarufu Kwa Mapacha, wakifurahia mara baada ya kupokea kadi zao za wanachama ikiwa ni kujiunga na Chama hicho mjini Dodoma huku wakionyesha alama yan chama hicho . Hafla hiyo iliyofanyika mjini Dodoma jana ilihudhuriwa na wabunge kadha wa CHADEMA.Kushoto ni Mbunge wa Mbeya  Mjini JosephMbiliny leo

Prof Jay akiionyesha kadi aliyokabidhiwa kwa kujiunga na CHADEMA akiwa na Wabunge wa chama hicho, Josepj Mbilinyi 'Sugu' na John Mnyika.

No comments:

Post a Comment