STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, June 20, 2013

Barabara ya Kimara King'ongo yafungwa mwezi mzima kisa....!




HIVI ndivyo wakazi wa Kimara King'ongo Kata ya Kimara na Samanga wanavyohenyeka majira ya asubuhi kwa kutembea kwa miguu kupandisha kilima sumbufu cha Peter's School ambacho kinatengenezwa kwa kuwekewa zege ili kuruhusu magari kupita bila usumbufu .
Matengenezo ya barabara hiyo yanayoendelea kwa sasa yamefanya njia hiyo ifungwe kwa mwezi mzima tangu Juni 1-30, ili ikiachiwa wakazi wa eneo hilo wafurahie huduma ya usafiri baada ya sasa kila siku asubuhi magari ushusha abiria darajani badala ya kuzunguka njia ya kutokea Stop Over au Kimara Temboni.

No comments:

Post a Comment