STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, June 20, 2013

Hatimaye mhanga wa bomu la Arusha azikwa

HATIMAYE aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) Kata ya Sokoni I, Judith William Moshi, aliyefariki kwa mlipuko wa bomu kwenye viwanja vya Soweto jijini Arusha siku ya Jumamosi (Juni 15, 2013) wakati wa ufungwaji wa kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani umezikwa leo jijini humo.
Chini baadhi ya picha za msafara wa mazishi wa mwanadada huyo ambaye alikuwa miongoni mwa watu watatu waliokufa katika mlipuko huo ambao al manusura ungewakumba viongozi wa kuu wa chama hicho akiwamo Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe (Mbunge).

Hapa ni Sugu akiwa na Peter Msigwa wakiongoza msafara.
Viongozi  wa chadema watua Arusha kwa ajili ya kutoa heshima zao za mwisho kwa wale waliofariki katika mkutano wa Chadema wakati wa mripuko wa bomu. Huku wakishirikiana na wananchi wa Arusha, John Mnyika ataongoza shughuli hizo.
Hili ndilo jeneza lililolobeba mwili wa marehemu ukipelekwa sokon 1


 

No comments:

Post a Comment