STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, June 7, 2013

Mwili wa mume wa Khadija Kopa azikwa kwao Bagamoyo jioni hii

MWILI ya mume wa Malkia wa Mipasho nchini,Khadija Kopa, Jaffar Ally umezikwa jioni hii wilayani Bagamoyo baada ya kufariki jana jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa watu waliousindikiza mwili wa marehemu Jaffar ambaye anayetajwa kuwa alikuwa pia ni Diwani wa CCM Kata ya Magomeni mazishi hayo yamefanyika muda mfupi uliopita.
Pichani juu ni baadhi ya wakazi wa mtaa wa Magomeni wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani na waombolezaji wengine wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa mume huyo wa muimbaji huyo wa kundi laTOT Taarab kuelekea kwenye makaburi kwa ajili ya kuhifadhiwa.
Picha: Said Swala Iddy.

No comments:

Post a Comment