
Kwa mujibu wa watu waliousindikiza mwili wa marehemu Jaffar ambaye anayetajwa kuwa alikuwa pia ni Diwani wa CCM Kata ya Magomeni mazishi hayo yamefanyika muda mfupi uliopita.
Pichani juu ni baadhi ya wakazi wa mtaa wa Magomeni wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani na waombolezaji wengine wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa mume huyo wa muimbaji huyo wa kundi laTOT Taarab kuelekea kwenye makaburi kwa ajili ya kuhifadhiwa.
Picha: Said Swala Iddy.
No comments:
Post a Comment