STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, June 16, 2013

Polisi yatuma timu maalum kuchunguza tukio la mlipuko wa bomu Arusha

JESHI la Polisi Tanzania, limetangaza kutuma timu maalum ya uchunguzi kwenda Arusha kwa ajili ya kuchunguza tukio la mlipuko unaosadikiwa kuwa bomu ambao umesababisha vifo vya watu wasio na hatia uliotokea jana jioni kwenye mkutano wa kufungia kampeni wa chama cha CHADEMA.
Taarifa ya jeshi hilo inayoeleza kila kitu kuhusu kikosi kazi hicho kilichotumwa Arusha hiyo hapo chini isome mwenyewe.


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjWnqi3NHXPT09U8HP-8VN6asxQHG8MZBzZcWTKLRx87uTSN-RC1k0z0_VvrdgHRPZgYgb8bFKI3lfC-2jwDk3vgyhZazyvxQlEV5RGEObrpQPW7IWe5GOHLWEGYTJYouoT83xcDJWNFv6V/s1600/taarifa.jpg

No comments:

Post a Comment