STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, June 16, 2013

Pambano la Golden Bush na Mburahati Veterani katika picha

Wachezaji wa Golden Bush na Mburahati wakichuana leo kwenye uwanja wa Chuo Kikuu
Onesmo Waziri 'Ticotico' (4) akimcheza rafu mchezaji wa Mburahati Veterani
'Mido' Shija Katina akimtoka mchezaji wa Mburahati
Karume wa Mburahati (kushoto) akimtoka Nico Nyagawa, huku Faraji akiwa makini
Game imeisha wachezaji wakipongezana
Wachezaji Golden Bush wakiwa kwenye mapumziko
Nani alikuambia Ivo Mapunda anajua kudaka tu, hapa alikuwa akikipiga kama mshambuliaji wa Golden Bush
Wisdom Ndhlovu akihamisha mpira mbele ya Karume wa Mburahati
Ivo Mapunda akiwajibika uwanjani

wachezaji wa akiba wa Mburahati wakiishuhudia timu yao ikilazwa mabao 3-2 na Golden Bush
Ally 'Neymar' wa Mburahati (kushoto) na Machota wakipongezana baada ya mchezo. Wote wawili walizifungia timu zao bao

Refa Madaraka Sdeleman (jezi ya njano) akitoka uwanjani na wachezaji baada ya kupuliza kipyenga cha mwisho
Msijali kwa kipigo. Refa Madaraka Seleman kama anamwambia mchezaji wa Mburahati baada ya kumalizika kwa pambano
Hongereni! Kipa wa Mburahati akiwaambia wachezaji wa Golden Bush, Kapeta na Machota
Heka heka uwanjani

No comments:

Post a Comment