![]() |
| Wachezaji wa Golden Bush na Mburahati wakichuana leo kwenye uwanja wa Chuo Kikuu |
![]() |
| Onesmo Waziri 'Ticotico' (4) akimcheza rafu mchezaji wa Mburahati Veterani |
![]() |
| 'Mido' Shija Katina akimtoka mchezaji wa Mburahati |
![]() |
| Karume wa Mburahati (kushoto) akimtoka Nico Nyagawa, huku Faraji akiwa makini |
![]() |
| Game imeisha wachezaji wakipongezana |
![]() |
| Wachezaji Golden Bush wakiwa kwenye mapumziko |
![]() |
| Nani alikuambia Ivo Mapunda anajua kudaka tu, hapa alikuwa akikipiga kama mshambuliaji wa Golden Bush |
![]() |
| Wisdom Ndhlovu akihamisha mpira mbele ya Karume wa Mburahati |
![]() |
| Ivo Mapunda akiwajibika uwanjani |
![]() |
| wachezaji wa akiba wa Mburahati wakiishuhudia timu yao ikilazwa mabao 3-2 na Golden Bush |
![]() |
| Ally 'Neymar' wa Mburahati (kushoto) na Machota wakipongezana baada ya mchezo. Wote wawili walizifungia timu zao bao |
![]() |
| Refa Madaraka Sdeleman (jezi ya njano) akitoka uwanjani na wachezaji baada ya kupuliza kipyenga cha mwisho |
![]() |
| Msijali kwa kipigo. Refa Madaraka Seleman kama anamwambia mchezaji wa Mburahati baada ya kumalizika kwa pambano |
![]() |
| Hongereni! Kipa wa Mburahati akiwaambia wachezaji wa Golden Bush, Kapeta na Machota |
![]() |
| Heka heka uwanjani |















No comments:
Post a Comment