STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, July 28, 2013

Aibu kwa Taifa! Watanzania wengine wanaswa na 'unga' ughaibuni

Baadhi ya Dawa za kulevya zikiwa zimenaswa
WIKI chache baada ya watanzania kadhaa akiwamo video Queen', Agnes Gerrard 'Masogange' na nduguye Mellisa Edward kunaswa Afrika Kusini na dawa za kulevya, watanzania wengine wawili wamekamatwa na dawa hizo huko Hongkong.
Taarifa zilizochapishwa na serikali ya nchi hiyo imesema watanzania hao ni kati ya abiria watatu walionaswa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa nchi hiyo juzi wakiwa na 'unga' wenye thamani ya Dola za Kimarekani Milioni 3.34.
Taarifa hiyo imekuja siku chache tu baada ya mmoja wa wafungwa waliokamatwa nchini humo kwa kosa na kuingiza dawa hizo za kulevya kutuma waraka unaoeleza Tanzania ilivyochafuka ughaibuni kwa biashara hiyo kiasi kwamba Wabongo wanapekuliwa uchi wa nyama wafikapo uwanja wa ndege wa Hongkong.
Mfungwa huyo aliweka bayana namna biashara hiyo ilivyokithiri na kuhusisha vigogo wa serikali, wabunge na hata watu wenye thamani ya ulinzi na usalama wa raia.
Jisomee taarifa hiyo ya kukamatwa kwa watanzania hao ikiwa ni muendelezo wa raia wa Taifa hilo lililokuwa na sifa nzuri mbele ya macho ya dunia kunaswa wakiingiza dawa hizo katika mataifa mengine baadhi ikielezwa wamenyongwa CHINA na kuhukumiwa vifungo vya muda mrefu kama kilichowakuta mabondia wa Tanzania nchini Mauritius hivi karibuni.
Taarifa hiyo ya serikali ya Hongkong ilipachikwa katika tovuti yao juzi Julai 26, 2013.



Hong Kong Customs yesterday (July 25) detected three drug trafficking cases, with seizures totally valued at $4.78 million, in the department's escalated anti-narcotics efforts to combat drugs.

Customs officers at the Hong Kong International Airport (HKIA) intercepted a 26-year-old incoming male passenger arriving from Tanzania for clearance yesterday afternoon and seized 1.6 kilogrammes of heroin concealed in two false compartments of his hand carry briefcase. The drugs would fetch a value of about $1.28 million.

Later in the evening, Customs officers at the HKIA intercepted another 45-year-old man from Tanzania for clearance. On suspicion of concealment of drugs inside his body, the suspect was escorted to hospital where he discharged 204 grammes of heroin after staying for one day. The value of the drugs was about $0.16 million. The suspect is still in the hospital.

In the same evening, Customs officers intercepted a 28-year-old man at a carpark in Tai Kok Tsui. Approximately 2.03 kg of cocaine camouflaged as snacks were found inside a plastic bag carried by him.

Customs officers later escorted the suspect to a domestic flat nearby for a search and seized 1 kg of cocaine and 290 grammes of crack cocaine there. The total value of the seizure was about $3.34 million.

A Customs spokesperson said today (July 26) that all three suspects in the three cases were arrested for drug trafficking. The cases are still under investigation.

Under the Dangerous Drugs Ordinance, drug trafficking is a serious offence. The maximum penalty is life imprisonment and a fine of $5 million.

Ends/Friday, July 26, 2013
Issued at HKT 23:43

No comments:

Post a Comment