Rais Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi ujenzi wa barabara ya Kagoma-Lusahunga katika wilayani Biharamulo
Rais
Kikwete akipiga picha ya kumbukumbu na wananchi wa Ngara baada ya
kuzindua kivuko cha MV Ruvuvu katika mto Rusumo
Rais
Kikwete akishiriki kupiga ngoma na kikundi cha utamaduni cha Ngara
wakati wa uzinduzi wa kivuko cha MV Ruvuvu katika mto Rusumo wilayani
Ngara
Rais
Kikwete akisimikwa kuwa chifu wa Wahaya na kukakabidhiwa mgolole na
silaha za jadi za Wahaya katika sherehe ya kuzindua wilaya mpya ya
Kyerwa
Rais
Kikwete akisimikwa kuwa chifu wa Wahaya na kukakabidhiwa mgolole na
silaha za jadi za Wahaya katika sherehe ya kuzindua wilaya mpya ya
Kyerwa
Umati uliojitokeza katika sherehe za uzinduzi wa wilaya mpya ya Kyerwa
Umati uliojitokeza katika sherehe za uzinduzi wa wilaya mpya ya Kyerwa
Umati uliojitokeza katika sherehe za uzinduzi wa wilaya mpya ya Kyerwa
Wananchi
wakimshangilia Rais Kikwete aliposimama kwa muda kuwasslimia wilayani
Karagwe akielekea Rusumo kuzindua kivuko cha Ruvuvu
Wananchi
wakimshangilia Rais Kikwete aliposimama kwa muda kuwasslimia wilayani
Karagwe akielekea Rusumo kuzindua kivuko cha Ruvuvu
Wananchi wakimshangilia Rais Kikwete baada ya kuzindua kivuko cha MV Ruvuvu jana Jumamosi
Wananchi wakimshangilia Rais Kikwete baada ya kuzindua kivuko cha MV Ruvuvu
Kivuko cha zamani kilichokuwa kikitumiwa na wananchi wa Ngara kuvuka mto Rusumo
Kivuko kipya cha MV Ruvuvu katika mto Rusumo kilichozinduliwa na Rais Kikwete
Rais
Kikwete akiongea na wananchi katika sherehe ya kuzindua mradi wa umeme
vijijini katika kijiji cha Nyaishozi, Wilaya ya Karagwe Rais Jakaya
Kikwete yuko mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi ya siku nane(PICHA NA
IKULU)
No comments:
Post a Comment