STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, July 4, 2013

FIFA yaifungia Cameroon kujihusisha na soka


SHIRIKISHO la Kandanda Duniani, FIFA limeifungia nchi ya Cameroon kwa muda usiojulikana nchi ya kufuatia serikali ya nchi hiyo kujiingiza katika maswala ya chama cha soka nchini humo.
Kwa mujibu wa tangazo la FIFA, hatua ya kufungiwa kwa nchi hiyo imetokana na maamuzi ya kamati ya dharura ya shirikisho hilo iliyokutana na kuamua kusimamisha kwa muda chama cha soka cha Cameroon FECAFOOT na uamuzi huo umeanza kutekelezwa mara moja kwa sababu serikali inaingilia maswala ya chama cha soka.

No comments:

Post a Comment