STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, August 1, 2013

Bondia Mtanzania alivyomchakaza Mthailand


 Bondia Mtanzania Omari Kimweri  anayefanya shughuli zake Australia kulia akinyooshwa mkono juu kuashira ushindi wake baada ya kumtwanga  Ekkalak Saenchan  wa Thailand kwa KO raundi ya kwanza.

Bondia Mtanzania Omari Kimweri  (kulia) akimsukumia makonde mazito mfululizi bondia Ekkalak Saenchan  wa Thailand na kufanikiwa kumtwanga kwa kwa KO raundi ya kwanza mwishoni mwa wiki iliyopita.
Bondia Mtanzania Omari Kimweri  anayefanya shughuli zake Australia akimsikilizia mpinzani wake baada ya kumtwanga kumi nzito na kuhesabiwa wakati wa mpambano wake ambapo mpinzani wake toka Thailand alishindwa kuendelea na hivyo kutangazwa mshindi wa KO ya raundi ya kwanza

No comments:

Post a Comment