STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, August 17, 2013

Momba, Mwamakula kumaliza ubishi kesho katika ndondi


Bondia Sadiki Momba kushoto akitunishiana misuli na Amos Mwamakula baada ya kupima uzito jana  kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa Taifa PST utakaofanyika siku ya jumapili katika ukumbi wa friends corner ManzeseDar es salaam

Bondia Sadiki Momba kushoto akitunishiana misuli na Amos Mwamakula baada ya kupima uzito jana  kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa Taifa PST utakaofanyika siku ya jumapili katika ukumbi wa friends corner ManzeseDar es salaam 
Bondia Habibu Pengo kushoto akitunishiana misuli na Iddy Mkwera baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofaNyika Manzese Dar es salaam siku ya jumapili.

No comments:

Post a Comment