STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, September 1, 2013

Cheka, Mashali, King Class watoa vipigo kwa wapinzani wake

Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Simba Watunduru wakati wa mpambano wao uliofanyika siku ya ijumaa katika ukumbi wa Diamond Jubilee. King Class alishinda kwa pointi.
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Simba Watunduru wakati wa mpambano wao uliofanyika Ijumaa katika ukumbi wa Diamond Jubilee. King Class alishinda kwa pointi.
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Simba Watunduru wakati wa mpambano wao uliofanyika siku ya ijumaa katika ukumbi wa Diamond Jubilee. King Class alishinda kwa pointi.
Bondia Chipaki Chipindi  kushoto akionyeshana umwamba wa kutupiana makonde na Alphonce Mchumiatumbo katika mpambano wao Mchumiatumbo alishinda kwa TKO
Bondia Deo Njiku akioneshana kazi na Alain Kamote wakati wa mpambano wao wa utangulizi Kamote alishinda kwa Point
Bondia Mada Maugo akijikakamua kumpiga konde Thomasi Mashali wakati wa mpambano wao uliofanyika jana wa kugombania Ubingwa wa WBF-Afrika. Mashali alishinda kwa pointi mpambano huo.
Thomasi Mashali kushoto na Maa Maugo wakioneshana umwamba
Bondia Francis Cheka kushoto akioneshana umwamba na Phil Williams wa Marekani wakati wa kugombania  ubingwa wa WBF uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee. Cheka alishinda kwa pointi.
Bondia Francis Cheka kushoto akioneshana umwamba na Phil Williams wa Marekani wakati wa kugombania  ubingwa wa WBF uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee. Cheka alishinda kwa pointi.

No comments:

Post a Comment