STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, September 22, 2013

Ngumi Dar watapata uongozi mpya, BFT yauruka kimanga


Baadhi ya viongozi waliochaguliwa kuiongoza Chama cha Ngumi Mkoa wa Dar es salaam (DABA) wakiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa uchaguzi huo Zuwena Kipingu  (katikati) na Mwangalizi mkuu wa uchaguzi, Remmy Ngabo.


Mwenyekiti wa Mkutano wa Uchaguzi wa viongozi wa mchezo wa Masumbwi Mkoa wa Dar es salaam Zuwena Kibena katikati akizungumza baada ya kumalizika uchaguzi huo na kupatikana viongozi wake
Baadhi ya wajumbe kutoka klabu ya Ashanti ya Ilala wakifatilia uchaguzi huo kutoka kushoto ni Emmanuel Mgaya, Hamisi Manyota na Juma Mwalimu  wakifuatilia uchaguzi mkuu wa chama cha mchezo wa ngumi mkoa wa Dar es Salaam (DABA) uliofanyika jana kwenye Ukumbi wa DDC Mlimani, Mwenge jijini Dar es Salaam.
Bondia Karama Nyilawaila akifuatilia uchaguzi huo, ambao hata hivyo umepingwa na Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT).

Mweka hazina wa klabu ya Ashanti ya Ilala, Emmanuel Mgaya akitumbukiza kura yake
Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Timothi Kingu akijinadi wakati wa kuomba kula

Baadhi ya viongozi wakipiga kula za kuchagua viongozi watakaokiongoza chama cha mchezo wa ngumi Mkoa wa Dar es Salaam DABA
Wamboi Mangore akiomba nafasi ya Ukatibu Mkuu
Mmoja wa Wajumbe Jafar Ndame akiomba Kura za Ujumbe wa Kamati ya Uhusiano Habari na Masoko.
Juma Uwesu akiomba kuchaguliwa kwa wapiga kula  ujumbe wa maendeleo ya vijana
Arnord Ngumbi akiomba nafasi ya ujumbe wa vilabu,wilaya na taasisi za umma
Mazimbo Ali akijinadi mbele ya wajumbe wa mkutano kumpigia kura katika nafasi ya Ujumbe wa Kamati ya Utendaji.

No comments:

Post a Comment