STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, September 30, 2013

Simba yaalika matawi kutoa maoni ya katiba yao


KLABU ya soka ya Simba imefungua milango kwa wanachama wake kuanza kutoa maoni na mapendekezo ya mchakato wa katiba yao ambapo kuanzia kesho wataanza kufanya hivyo kwa kupitia matawi yoao yaliyopo ndani na nje ya jijini la Dar.
Kwa mujibu wa Afisa Habari wa klabu hiyo, Ezekiel Kamwaga alisema kuwa zoezi hilo litachukua muda wa usiozidi siku 10 kwa kuwasilisha kwa Katibu Mkuu wao, Evodius Mtawala kabla ya kuja kufanyika kwa mkutano.

No comments:

Post a Comment