STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, September 30, 2013

Ajali tena! Basi la 5 Alliance laua mmoja Lindi



Basi la 5 Alliance likiwa limeanguka katika ajali iliyopata leo
ABIRIA mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja amefariki dunia katika ajali ya basi la 5 Alliance na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Ajali hili inaelezwa imetokea eneo ya Nyamwage mkoa wa Lindi wakati bali basi hilo    lililokuwa likitokea Dar Es Salaam kuelekea Lindi limepinduka na kusababisha kifo cha abiria huyo na watu wengine waliokuwa ndani ya gari hilo kujeruhiwa. Taarifa kamili tunafuatilia na kuziweka hapa.

No comments:

Post a Comment