STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, October 5, 2013

Ajali tena! Basi la Machinga uso kwa uso na Lori, dereva afa papohapo

Baadhi ya mashuhuda wakilishangaa basi la Machinga lililopata ajali

AJALI za barabarani zimeendelea kupoteza uhai wa watumiaji wake baada ya basi la Machinga kupata ajali mbaya ya kugongana uso kwa uso na lori na kusababisha kifo cha dereva wake.
Taarifa zinasema kuwa dereva aliyepoteza maisha yake anafahamika kwa jina la Noor, na ajali hiyo ilitokea katika eneo la Kilimahewa mbele kidogo ya Kimanzichana.
Basi hilo lilikuwa likitokea Dar kuelekea Mtwara na ndipo likagongana uso kwa uso na lori la mizigo na kusababisha kifo hicho na abiria wengine kadhaa kujeruhiwa.
Taarifa zaidi juu ya ajali hiyo itawajia kadri tukibahatika kuzipata kupitia hapa hapa www.micharazomitupu.blogspot.com

No comments:

Post a Comment