STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, November 6, 2013

NEWZ ALERT: MFANYAKAZI TBC APIGWA RISASI NA KUFARIKI

No comments

MFANYAKAZI  wa Shirika la Utangazaji Nchini  TBC, pichani, RAMADHAN GIZE ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosaidiwa kuwa ni majambazi usiku wa kuamkia leo katika eneo la UBUNGO Maziwa Jijini DSM.

Tukio hilo limetokea baada ya watu hao kuvamia duka moja katika eneo hilo la UBUNGO MAZIWA kwa lengo la kupora, ambapo mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la MWARAMI RAJABU amejeruhiwa na watu hao wanasadikiwa kuwa ni majambazi.
Chanzo:MICHUZI

No comments:

Post a Comment