STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, November 6, 2013

Yanga, Azam, Mbeya City nani kukaa kileleni kesho


Wageni Mbeya City kuweka rekodi kesho kwa Azam?

Mabingwa watetezi watamaliza vipi kesho kwa Oljoro?
PAZIA la duru la kwanza la Ligi Kuu Tanzania Bara linatarajiwa kufungwa rasmi kesho kwa mechi tatu, huku mechi mbili kati ya hizo zitakuwa zikitupiwa macho ili kujua ni timu hiyo kati ya zilizopo kwenye Tatu Bora, Azam, Mbeya City na mabingwa watetezi watakaomaliza kileleni kuuaga mwaka 2013?
Yanga itaikaribisha Oljoro JKT kutoka Arusha kwenye uwanja wa Taifa, huku Azam na Mbeya zilizopo juu ya Yanga zikiumana zenyewe kwa wenyewe katika pambano litakalochezwa kwenye uwanja wa Chamazi.
Vinara Azam watafanya nini kesho kwa Mbeya City?
Matokeo yoyote katika mechi hizo mbili yatatoa nafasi kwa timu hizo tatu moja wapo kukaa kileleni kutokana na kuwa na pointi zisizopishana sana.
Azam wanaongoza msimamo kwa tofauti na yamabo ya kufungwa na kufunga licha ya kulingana pointi na Mbeya City iliyoipanda daraja msimu huu zote zikiwa na pointi 26 kila moja, wakati Yanga wenyewe waliopo nafasi ya tatu ikiwa na pointi 25.
Kutokana na hali hiyo iwapo Yanga itashinda na wapinzani wake kutoka sare watakalia kiti cha uongozi, lakini kama itashinda na Azam au Mbeya City ikashinda ina maana Yanga itashika nafasi ya pili na moja kati ya timu hizo mbili itaangukia katika nafasi ya tatu na nyingine kukalia kiti cha uongozi.
Tayari kumekuwa na tambo kwa timu za Azam na Mbeya City kuhusiana na pambano lao, lakini Yanga wenyewe wanaombea waendelee rekodi yao ya kutoa dozi kwa timu za maafande kwa kuikwanyua Oljoro JKT katika pambano lao huku wakiombea wapinzani wake kutoka sare.
Mechi nyingine kwa kesho itawakutanisha Rhino Rangers yua tabora itakayovaana na maafande wa Prisons ya Mbeya kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi.
Je, ni Yanga, Azam au Mbeya City watauaga mwaka kileleni hadi mwaka 2014 au watauvuruga vipi msimamo wa ligi hiyo katika nafasi ya Tatu Bora? Tusubiri tuone hiyo kesho!

Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2013-2014    
                                  P    W     D     L      F     A    GD  PTS
01.Azam                    12   07    05    00   20    07    13   26
02.Mbeya City           12   07    05    00   16    07    09   26
03.Yanga                    12   07    04    01   28    11    17   25
04.Simba                    13   06    06    01   26   13     13   24
05.Kagera Sugar         13   05    05    03   14   09     05   20
06.Mtibwa Sugar         13   05    05    03   19   17     02   20
07.Ruvu Shooting        13   04    05    04   15   15     00   17
08.Coastal Union         13   03    07    03   10  07     03    16
09.JKT Ruvu               13   05    00    08   10  16    -06   15
10.Rhino Rangers        12   02    04    06   09  16     -05   10
11.Oljoro                    12   02    04    06   09  16     -07   10
12.Ashanti                  13   02    04    07   12   24    -12    10
13.Prisons                  12   01    05    06    05  15    -10    08
14.Mgambo               13   01    03    09    03  23    -20    06
 
Wafungaji:

10- Tambwe Amisi (Simba)
9- Elias Maguri (Ruvu Shooting)
8- Hamis Kiiza (Yanga), Juma Luizio (Mtibwa Sugar)
7- Kipre Tchetche (Azam)
6- Themi Felix (Kagera Sugar)
5- Tumba Sued (Ashanti Utd), Didier Kavumbagu, Mrisho Ngassa (Yanga)
4- Peter Michael (Prisons), Jerry Santo (Coastal Union), Jerry Tegete (Yanga), Betram Mombeki (Simba), Bakar Kondo (JKT Ruvu)
3- Haruna Chanongo, Jonas Mkude (Simba), Paul Nonga (Mbeya City), Salum Machaku (JKT Ruvu), Jerry Santo (Coastal Union),  Mcha Khamis (Azam), Amir Omary (Oljoro), Ramadhani Singano (Simba)
2- Haruna Moshi, Crispian Odulla (Coastal Union), Saady Kipanga (Rhino Rangers), Mwagani Yeya, Jeremiah John, Peter Mapunda,(Mbeya City), Godfrey Wambura (Kagera Sugar), Shaibu Nayopa (JKT Oljoro), Joseph Kimwaga (Azam), Shaaban Nditti, Shaaban Kisiga (Mtibwa Sugar), Said Dilunga (Ruvu Shooting)
1- Abdi Banda, Danny Lyanga (Coastal Union), Henry Joseph, Joseph Owino, Gilbert Kazze (Simba), Haruna Niyonzima, Nizar Khalfan, Simon Msuva, Frank Dumayo, Mbuyi Twitte, Oscar Joshua (Yanga), Iman Joel, Salum Majid, Mwalimu Musuku, Kamana Salum, Hussein Abdallah, Abbas Mohammed (Rhino Rangers), Gaudence Mwaikimba, Seif Abdallah,  Aggrey Morris,  John Bocco, Faridi Maliki, Hamphrey Mieno, Salum Abubakar, Erasto Nyoni (Azam), Steven Mazanda, Richard Peter, Deo Deus  (Mbeya City), Laurian Mpalile (Prisons-OG), Shaaban Susan, Jerome Lembeli, Cosmas Ader  (Ruvu Shooting), Masoud Ally, Salim Mbonde (Mtibwa Sugar), Shaaban Juma, Anthony Matangalu, Paul Maono(OG), Samir Luhava (OG), John Matei, Mwinyi Ally, Hussein Sued, Said Maulid (Ashanti Utd), Abdallah Bunu, Emmanuel Switta, Amos Mgisa (JKT Ruvu), Fully Maganga, Hamis Msafiri (Mgambo JKT), Seleman Kibuta, Daud Jumanne, Maregesi Marwa, Clement Douglas, Salum Kanoni (Kagera Sugar), Paul Malipesa, Expedito Kidulo, Nurdin Mohammed, Fikiri Mohammed (Oljoro JKT)

Matokeo yote ya mechi za Duru la KwanzaDURU LA KWANZA
Agosti 24, 2013
Yanga vs Ashanti United (5-1)
Mtibwa Sugar vs Azam (1-1)
Oljoro JKT vs Coastal Union (0-2)
Mgambo JKT vs JKT Ruvu (0-2)
Rhino Rangers vs Simba (2-2)
Mbeya City vs Kagera Sugar (0-0)
Ruvu Shooting vs Prisons (3-0)

Agosti 28, 2013
Mtibwa Sugar vs Kagera Sugar (1-0)
Rhino Rangers vs Azam (0-2)
JKT Ruvu  vs Prisons (3-0)
Mbeya City vs Ruvu Shooting (2-1)
Mgambo  vs Ashanti United (1-0)
Oljoro JKT vs Simba (0-1)
Yanga  vs Coastal Union (1-1)

Sept 14, 2013
Simba  vs Mtibwa (2-0)
Coastal Union  vs Prisons (0-0)
Ruvu Shooting va Mgambo JKT (1-0)
Oljoro JKT vs Rhino Rangers (1-1)
Mbeya City  vs Yanga (1-1)
Kagera Sugar vs Azam (1-1)
Ashanti United  vs JKT Ruvu (0-1)

Sept 18, 2013
Prisons vs Yanga (1-1)
Simba vs Mgambo JKT (6-0)
Kagera Sugar vs JKT Oljoro (2-1)
Azam  vs Ashanti United (1-1)
Coastal Union  vs Rhino Rangers (1-1)
Mtibwa Sugar  vs Mbeya City (0-0)
Ruvu Shooting vs  JKT Ruvu (1-0)

Sept 21, 2013
Mgambo JKT vs Rhino Rangers (1-1)
Prisons vs Mtibwa Sugar (1-1)
Simba vs Mbeya City (2-2)
Kagera Sugar vs Ashanti United (3-0)

Sept 22, 2013
JKT Ruvu vs Oljoro JKT (0-1)
Azam  vs Yanga (3-2)
Coastal Union v Ruvu Shooting (1-0)

Sept 25, 2013
Rhino Rangers vs Ashanti Utd (2-0)

Sept 28, 2013
Yanga vs Ruvu Shooting (1-0)
Rhino Rangers v Kagera Sugar (0-1)
Mbeya City vs Coastal Union (1-1)
Mgambo JKT vs Oljoro JKT (0-0)

Sept 29, 2013
Ashanti Utd vs Mtibwa Sugar (2-2)
JKT Ruvu vs Simba (0-2)
Prisons vs Azam (1-1)

Okt 05, 2013
Ruvu Shooting vs Simba (1-1)
JKT Ruvu vs Kagera Sugar (2-1)
Coastal Union vs Azam (0-0)
Oljoro JKT vs Mbeya City (1-2)

Okt 06, 2013
Mgambo JKT vs Prisons (0-1)
Yanga vs Mtibwa Sugar (2-0)

Okt 09, 2013
Rhino Rangers vs Mbeya City (1-3 )
Oljoro JKT vs Ruvu Shooting (2-2)
Azam vs Mgambo JKT (2-0)
Mtibwa Sugar vs JKT Ruvu (2-1)

Okt 12, 2013
Kagera Sugar vs Yanga (1-2)
Simba vs Prisons (1-0)
Ashanti Utd  vs  Coastal Union (2-1)

Okt 13, 2013
Ruvu Shooting vs Rhino Rangers (1-0)
Mgambo JKT vs Mbeya City (0-1)
Azam vs JKT Ruvu (3-0)
Mtibwa Sugar vs Oljoro JKT (5-2)

Okt 16, 2013
Ashanti Utd vs Prisons (2-1)

Okt 19, 2013
Kagera Sugar vs Coastal Union (1-0)
Oljoro JKT vs Azam (0-1)
Mtibwa Sugar vs Mgambo JKT (4-1)
Mbeya City vs JKT Ruvu (1-0)
Ashanti Utd vs Ruvu Shooting (2-2)

Okt 20, 2013
Simba vs Yanga (3-3)

Okt 23, 2013
Coastal Union vs Simba (0-0)
Prisons vs Kagera Sugar (0-0)
Yanga vs Rhino Rangers (3-0)

Okt 28, 2013
Simba vs Azam (1-2)
Ruvu Shooting vs Kagera Sugar (1-1)
Coastal Union vs Mtibwa Sugar (3-0)
Oljoro JKT vs Ashanti Utd (0-0)

Okt 29, 2013
Prisons vs Mbeya City (0-2)
Rhino Rangers vs JKT Ruvu (1-0)
Yanga vs Mgambo JKT (3-0)

Okt 31, 2013
Simba vs Kagera Sugar (1-1)

Nov 1, 2013
JKT Ruvu vs Yanga (0-4)

Nov 2, 2013
Mgambo JKT vs Coastal Union (0-0)
Azam vs Ruvu Shooting (3-0)
Mtibwa Sugar vs Rhino Rangers (1-0)
Mbeya City vs Ashanti Utd (1-0)

Nov 3, 2013
Prisons vs Oljoro JKT (0-1)

Nov 06, 2013
JKT Ruvu vs Coastal Union (1-0)
Ashanti Utd vs Simba (2-4)
Ruvu Shooting vs Mtibwa Sugar(2-2)
Kagera Sugar vs Mgambo JKT (2-0)

Nov 07, 2013
Azam vs Mbeya City (-)
Rhino Rangers vs Prisons (-)
Yanga vs Oljoro JKT (-)

No comments:

Post a Comment