STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, December 30, 2013

Miyeyusho abadilishiwa mpinzani toka Kenya

Bondia Joshua Amukulu (kushoto) kutoka Kenya akitunishiana misuli na Francis Miyeyusho wakati wa upimaji uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho Desemba 31. Awali ilitangazwa Miyeyusho angepigana na David Chalanga.

Bondia Kalama Nyilawila kushoto akitunishiana misuli na Ibrahimu Maokola  baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Desemba 31 siku ya jumanne katika ukumbi wa New Msasani Club.
Bondia Francis Miyeyusho akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake  Joshua Amukulu kutoka Kenya utakaofanyika kesho jumanne katika ukumbi wa Msasani Club.
BONDIA FRANSIC MIYEYUSHO AKIHOJIWA NA WAANDISHI WA HABARI BAADA YA KUPIMA UZITO KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE NA MKENYA JOSHUA AMUKULU UTAKAOFANYIKA DESEMBA 31 KATIKA UKUMBI WA MSASANI CLBU (PICHA ZOTE NA SUPER D)
Bondia Ibrahimu Class 'king Class Mawe'  kushoto akitunishiana misuli na Mustafa Dotto  baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho jumanne katika ukumbi wa Msasani Club.
IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE AKIPIMWA AFYA
 IDDY MNYEKE AKIPIMWA AFYA

No comments:

Post a Comment