STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, December 30, 2013

Rais Kikwete akabidhiwa Rasimu ya Katibu Mpya

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Jakaya Kikwete leo amepokea rasmi Rasimu ya Katiba Mpya ambayo itajadiliwa hapo baade na Bunge maalum la Katiba. 
Rais Kiwete aliipokea Rasimu hiyo kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba katika makabidhiano yaliyofanyika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam. Kuisoma zaidi rasimu hiyo Bofya hapa RASIMU YA KATIBA

No comments:

Post a Comment