STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, March 26, 2014

Bayern Munich nouma yatetea taji Ujerumani kwa aina yake

 http://www.sportsarena.com.sg/di/library/omnisport/11/68/bayernmunich_1um7biac60yco14kixp752v0gm.jpg?t=-616441876w=570

MABINGWA watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Bayern Munich imefanikiwa kutetea taji lake la Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) usiku wa jana baada ya kuwafunga Hertha Berlin kwa mabao 3-1.
Watetezi hao wametwaa taji hilo la 23 wakiwa wameshinda mechi 10 mfululizo na pia wakiwa wamecheza mechi 52 ya mashindano yote bila kupoteza.
Mabo ya washindi katika pambano hilo lililochezwa mjini Berlin, yalifungwa na  Toni Kroos, Mario Goetze na Frank Ribery na kuifanya Bavarians kunyakua taji hilo ikiwa na mechi saba mkononi kabla ya kumaliza msimu wa Bundesliga.

No comments:

Post a Comment