STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, March 3, 2014

Mkenya Lupita Nyong'o aweka historia anyakua tuzo ya Oscar


Lupita Nyong'o akiwa na tuzo yake


Lupita akishow kwenye red carpet
MKENYA Lupita Nyong'o, ameweka historia baada ya kufanikiwa kunyakua tuzo maarufu duniani ya Oscar.

Tuzo hizo za 86 za Academy Awards 2014 maarufu kama oscars zilifanyika Dolby Theathre pande za Hollywood 
Mshiriki pekee toka pande za Afrika Mashariki, Mkenya Lupita Nyong’o ndiye ametunyanyua ile kinoma noma baada ya kuondoka na tuzo katika kipengele cha best supporting actress kupitia movie yake ya '12 Years a Slave'

Lupita ambaye aliwashinda waigizaji wenzie kama Jennifer Lawrence kupitia movie yake ya American hustle , Sandra Burlock kupitia movie yake ya Gravity, Lupita alipata shangwe za hatari wakati jina lake linatajwa kuwa mshindi wa tuzo hizo.
Hongera Lupita Nyong'o Watz mpooooo?!

No comments:

Post a Comment