STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, May 6, 2014

Pep Guardiaol apata mtetezi Bayern Munich

WINGA wa Bayern Munich, Arjen Robben anaona kwamba mambo yamekuzwa mno tangu walipotolewa katika nusu fainali ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid.
Mabingwa hao waliokuwa watetezi walitolewa kwa jumla ya mabao 5-0, na kusababisha mbinu za ufundishaji za kocha Pep Guardiola kupingwa kufuatia kipigo cha 4-0 nyumbani katika mechi yao ya marudiano.
Wakiwa wameshatwaa ubingwa wa Bundesliga mapema zaidi katika historia msimu huu, kikosi cha Guardiola kinawania taji la pili la Kombe la 'FA' (DFB-Pokal), dhidi ya Borussia Dortmund katika fainali na Robben anaona kwamba hawastahili kusakamwa kama vile hamna walichofanya.

No comments:

Post a Comment