STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, September 29, 2014

Newz Alert! 200 wanusurika kifo Ruvuma kisa Togwa

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjO_S-l6Wfk0XGytRGNo_z8VxHh86vT54Eo2lXxFx74RVNuBVIyfcU3gfznTlm2molEPd2D4CDYNDyRg-K0THIp1m2ghBqMS87K9tPw0RwdyVvL5OoBAE9PxUnmBqQhJnlv6zBU7lnacT0/s640/DSCN1163.JPG
Picha haihusiani na habari hii, ingawa kinachoonekana pichani ni Togwa zikiwa sokoni

HABARI zilizotufika hivi punde zinasema zaidi ya watu 200 wamenusurika kufa baada ya kunywa Togwa linalosadikiwa kuwa na sumu katika kijiji cha Chitapwasi, mkoani Ruvuma.

Taarifa zaidi zitawajia kadri MICHARAZO itavayozipata kwa usahihi, ila inaelezwa baadhi ya walikumbwa na janga hilo wamekimbizwa katika vituo vya afya kwa ajili ya matibabu, japo haijafahamika kitu gani kilichosababisha watu hao kudhuriwa na togwa hilo, ingawa inahisiwa huenda ikawa na sumu.

No comments:

Post a Comment