STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, September 29, 2014

Rais JK kuzindua barabara ya Mwenge-Tegeta

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhMk0vSfAt8jHtAhakSB7WvHhsiQsyDQ3FoVsGoT4CpB8NFGVSWDMGy9-1pUHS72qegQZeRSFWebW5m5lv_B4-EU6g2bcOeMM9YVnPkQzhIBcv7Ic0C6xVbuGr8psoDH6RoLFLzsQQfcdGw/s640/Rais+Jakaya+Kikwete+%2528kati%2529+Balozi+wa+Japan+nchini+Hiroshi+Kanagawa+%2528kulia%2529+wakikata+utepe+na+Waziri+wa+Ujenzi+John+Mgufuli+aki.jpg
Rais Kikwete alipozundua ujenzi wa barabara hiyo

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhp1HUk3XqXz8wzRf9snLC3eY5TZp0maO9SMNksDsdurpQID42Ap96Wk5H78DmTjJq-GN6GxnPmCH6i3CQOTvsD6jNZ-P3oe-NWWnqretJxzG4GNmtGesW7yB8TP4w2iT_QRaUDPyfH_Cc/s1600/20140511_123729.jpg
Barabara ya Mwenge Tegeta

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za ufunguzi wa barabara ya Mwenge –Tegeta yenye urefu wa kilometa 12.9 katika eneo la Lugalo, jijini Dar es salaam.  

Taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es salaa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Muhandisi  Musa Iyombe imeeleza kuwa sherehe za ufunguzi wa barabara hiyo zitafanyika tarehe 1, Oktoba ,2014 katika eneo la Lugalo njia panda ya Kawe kuanzia saa nne asubuhi.
Taarifa  hiyo imeeleza kuwa kukamilika kwa upanuzi wa barabara hiyo yenye urefu wa kilometa 12.9 ni sehemu ya mkakati wa serikali wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es salaam.
Aron Msigwa –MAELEZO.
29/9/2014.
MWISHO.

No comments:

Post a Comment