STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, August 15, 2015

Bayern Munich yatoa onyo mapema Bundesliga

Benatia (left) races away to celebrate following his 27th opener at the Allianz Arena
Wachezaji wa Bayern Munich wakipongezana baada ya kufunga moja ya mabao yao jana katika Bundesliga
Bayern striker Robert Lewandowski jumps for joy after the Poland striker made it 2-0 after the break
Robert Lewandowski akishangilia bao alililoifungia Bavarian usiku wa jana
MTAISOMA namba! Hivyo ndivyo Bayern Munich ilivyojitambulisha baada ya usiku wa jana kuanza vema Ligi Kuu ya Ujerumani wao kama mabingwa watetezi kwa kuikandika Hamberger kwa mabao 5-0.
Bavarians hao walipata ushindi huo kwenye mechi ya ufunguzi wa ligi hiyo katika Uwanja was nyumabi wa Allianz Arena kwa mabao ya Robert Lewandowski, Mehdi Benatia, Thomas Muller aliyefunga mawili na Douglas Costa.

No comments:

Post a Comment