STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, June 1, 2016

Mbeya City haijalala mwanangu

http://mbeyacityfc.com/wp-content/uploads/2016/05/city-in-malawi-copy.jpgWAKATI klabu nyingine zikienda likizo kwa ajili ya mapumziko ya Ligi Kuu Bara, Mbeya City haijalala kwani inatarajiwa kufanya ziara ya kisoka Malawi.
Kwa mujibu wa mtandao wa klabu hiyo, kikosi hicho cha Mbeya City kinatarajia kufanya ziara hiyo ambapo itacheza mechi tatu za kirafiki za kimataifa ili kuwapa uzoefu nyota wao kabla ligi haijaanza baadaye mwaka huu.
Kwenye ratiba hiyo, City itaanza kushuka kwenye Uwanja wa Kamuzu, jijini Blantyre Juni 18  kwa kucheza na vigogo wa soka Malawi, Big Bullets.

No comments:

Post a Comment