STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, November 27, 2012

ZANZIBAR WAANZA NA SARE CHALLENJI - NIYONZIMA AKIING'ARISHA RWANDA

Beki wa timu ya Zanzibar Heroes, Said Chollo akimiliki mpira wakati wa
mchezo dhidi ya timu ya Eritrea wakati wa michuano ya Cecafa Challenge
2012 uliochezwa katika Uwanja wa Mandela nchini Uganda

Wachezaji wa timu za Zanzibar na Eritrea wakiwania mpira wakati wa
mchezo dhidi ya timu ya Eritrea wakati wa michuano ya Cecafa Challenge
2012 uliochezwa katika Uwanja wa Mandela nchini Uganda.



Haruna Niyonzima akishangilia goli lake aliloifungia Rwanda dhidi ya Malawi na kufanya matokeo kuwa 2-0 mpaka kipenga cha mwisho kilipopulizwa - kufuatia goli la kwanza lilofungwa na Jean Baptiste Muginereza katika dakika ya 38 ya kipindi cha kwanza.   

No comments:

Post a Comment