STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, April 16, 2013

Tetemeko la Ardhi laleta maafa makubwa Iran

 
TETEMEKO la Ardhi lenye ukubwa wa 7.8 limeupiga mji wa Khash nchini Iran na mpaka sasa inaripotiwa zaidi ya watu 80 wamepoteza uhai wao.
Tetemeko hilo ambalo limezipiga pia nchi za Pakstani, India na Qatar na kusababisha uharibifu na watu kadhaa kujeruhiwa, ambapo kwa habari za sasa zinasema kwa Iran waliofariki ni 81 na zoezi la uokozi linaendelea hali inayobashiriwa huenda idadi ya vifo vikaongezeka.

No comments:

Post a Comment