STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, June 5, 2013

FM Academia kupamba Miss Kigamboni Ijumaa


Katika harakati za kumpata mrembo wa taifa atakayewakilisha nchi katika mashindano ya urembo ya dunia, baadhi ya vitongoji vya DSM vinaendelea na maandalizi ya kupata warembo wake ambapo vitongozi wa SINZA na KIGAMBONI vitapata warembo wake Ijumaa wiki hii yaani Juni 7, ambapo kwa shindano la Kigamboni bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' wanatarajiwa kupamba kwa kutoa burudani. Shindano hilo la Redds' Miss Kigamboni 2013 linaratibiwa na mwanadada Somoe Ng'itu anayeoonekana hapo pichani juu.

No comments:

Post a Comment