STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, June 5, 2013

Maelfu wajitokeza kumuaga Ngwair

Sehemu ya umati uliojitokeza kumuaga Ngwair viwanja vbya leaders
Diamond Platnumz akipita mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu Albert Mangwea kutoa heshima zake za mwisho.


Rais wa Chama cha Wanamuziki Nchini.

Mwili wa marhemu Albert Mangwea ukiwa kwenye jeneza tayari kwa watu kutoa heshima za mwisho



Umati wa watu wakiwa wamepanga mstari tayari kwa kwenda kuaga huku kikosi cha msalaba mwekundu na polisi kikiwa stand by.
Baadhi ya wasanii wa bongo wakiwa kwenye mstari tayari kwa kuaga.








Umati wa waliojitokeza kumuaga Ngwair leo(Picha zote Mpekuzi Huru)



    




No comments:

Post a Comment