STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, July 27, 2013

Miyeyusho kumvaa Mzambia Dar Live siku ya Idd Mosi

Bondia Francis Miyeyusho kushoto akitia saini mkataba wa makubaliano ya kucheza siku ya sikukuu ya Idd Mosi dhidi ya Darius Lipupa wa Zambia mpambano utakaopigwa katika ukumbi wa Dar Live kushoto ni Rais wa TPBO LIMITED Yassin Abdallah 'Ustaadh'  

Bondia Francis Miyeyusho kushoto akitia saini ya Dole Gumba  mkataba wa makubaliano ya kucheza siku ya sikukuu ya Idd Mosi na Darius Lipupa wa Zambia mpambano utakaopigwa katika ukumbi wa Dar Live kushoto ni Rais wa TPBO LIMITED Yassin Abdallah 'Ustaadh'  

Rais wa TPBO LIMITED Yassin Abdallah 'Ustaadh' kushoto akimkabidhi kiasi cha pesa bondia Francis Miyeyusho kama sehemu ya maandalizi ya mpambano wake utakaofanyika siku ya Sikukuu ya Idd katika ukumbi wa Dar Live 

No comments:

Post a Comment