STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, August 8, 2013

Hivi ndivyo Extra Bongo ilivyowatambulisha wanenguaji wao wapya Leaders

Wanenguaji wapya wa Extra Bongo, Jolie na Grace wakionyesha makeke yao

Tunatomboka namuna hii ...ayaa ayaaa hiiiiii
Mkurugenzi wa Extra Bongo, Ally Choki (mwenye kofia) akiwatambulisha wanenguaji wao wao huku Super Nyamwela akiwa makini kumsikiliza pembeni kulia. Kushoto ni Papii Catalogue
Mi naitwa Jolie Kindu au Muringo Ngassa nimekuya Kutanzanie kwa ajili ya kufunika madancers wote mutaona
Msiniangushe jamani, nimeshawafagilia kwa mapaparazi kuwa nyie ni nouma sawasawaaa?
Ally Choki akitoa ufafanuzi kwa wanahabari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa waneguaji wao wawili kutoka Kongo.
Choki alikuwa na kazi kubwa ya kufafanua baadhi ya mambo juu ya madansa hao wanaojiita Mrisho Ngassa na John Bocco ambao watatambuilishwa rasmi kesho kwenye onyesho la Idd Mosi Meeda Club bna Idd Pili itakuwa zamu wa wakazi wa Mbagala kwani Extra Bongo watakuwa Dar Live

No comments:

Post a Comment