STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, August 8, 2013

Maskin Mhadhiri huyo wa UDSM auwawa kwa risasi Dar



Picture: Patrick Rweyongeza

Mhadhiri wa College of Engeneering katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, Patrick Rweyongeza, ameuawa jana kwa kupigwa na risasi.

Tukio limetokea jana mchana katika maeneo Magomeni-TANESCO wakati marehemu akielekea mjini ambapo watu waliokuwa wamepakizana kwenye pikipiki walimfuata na kumfyatulia risasi na kisha kutokomea.

No comments:

Post a Comment