STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, August 23, 2013

Polisi Dar wanamnasa msanii Bongo Movie kisa picha za utupu alizopiga na mademu na kusambaza mitandaoni


 
 JESHI la polisi kanda ya Dar es Salaam linadaiwa kumtia mbaroni msanii anaetuhumiwa kupiga picha chafu na wanawake mchanganyiko wakiwema mamiss maarufu na baadae kusambaza kwenye mitandao yote ya kijamii pamoja na kuripotiwa kwenye magazeti mbalimbali
 
Mwandishi wetu amefanikwa  kuzinasa  picha  za  Manaiki  akiwa chini ya ulinzi wa  polisi huku akiwa amevishwa pingu na kurukishwa kichurachura.
 
Manaiki mbaroni-Udaku

No comments:

Post a Comment