STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, September 6, 2013

Zantel yamleta Azonto, kuwasha moto kesho Dar

Mwanamuziki anayetamba na wimbo wa Azonto kutoka Ghana, Fuse ODG (katikati), akionesha manjonjo yake  wakati wa mkutano na waandishi wa habari, kuhusiana na onesho lake litakalofanyika Jumamosi katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam. Katikati ni Ofisa Biashara Mkuu wa Zantel, Sajid Khan. Mwanamuziki huyo ameletwa na Kampuni ya Simu za mkononi ya Zantel kwa kushirikiana na Times FM. (Picha na Francis Dande)
Mwanamuziki anayetamba na wimbo wa Azonto kutoka Ghana, Fuse ODG akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusiana na onesho lake litakalofanyika leo katika viwanja vya Posta jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Ofisa Biashara Mkuu wa Zantel, Sajid Khan.

No comments:

Post a Comment