STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, October 6, 2013

Hussein Gobossi hoi kwa Adam Ngange

Bondia Adamu Ngange kushoto akipambana na Hussein Gobossy wakati wa mpambano wao wa masumbwi uliofanyika katika ukumbi wa Sonata uliopo Chanika Dar es salaam jana Ngange alishinda kwa K.O ya raundi ya nne.
Bondia Adamu Ngange kushoto akipambana na Hussein Gobossy wakati wa mpambano wao wa masumbwi uliofanyika katika ukumbi wa Sonata uliopo Chanika, Dar es salaam jana Ngange alishinda kwa K.O ya Raundi ya Nne.
Adamu Ngange katikati akiwa na kocha wake
Bondia Hussein Gobossy  kushoto akipambana na Adamu Ngange wakati wa mpambano wao wa masumbwi uliofanyika katika ukumbi wa Sonata uliopo Chanika Dar es salaam jana Ngange alishinda kwa K.O ya raundi ya nne.
Bondia Adamu Ngange akisubili kupigana na mpinzani wake
Bondia Adamu Ngange kulia akimwangalia bondia HUSSEIN GOBOSSY ambaye alikimbia ulingoni kwa kipigo kikali ambapo mvua ya makonde ilikuwa ikimwelemea.
Bondia Adamu Ngange akinyosha mikono juu baada ya mpinzani wake kuingia mitini kwa kukimbia mchezo huo

No comments:

Post a Comment