STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, November 5, 2013

Bahati Bukuku apatwa msiba mzito, ampoteza baba yake

http://strictlygospel.files.wordpress.com/2008/04/bahati2.jpg
Pole Bahati Bukuku kwa kumpoteza baba
MUIMBAJI wa nyimbo za Injili, Bahati Bukuku amefiwa baba yake mzazi Mzee Paul Bukuku baada kuugua kwa muda mrefu. 
Marehemu amefia katika Hospitali ya Kardinali iliyopo Ukonga jijini Dar es Salaam na msiba upo nyumbani kwa Bahati maeneo ya Tabata, jijini Dar es Salaam.
MICHARAZO inatoa pole kwa Bahati Bukuku na familia yake kwa ujumla kwa msiba huo na kumtakiwa kuwa na subira katika kipindi hiki kigumu kwa kutambua kuwa 'Kila Nafsi Itaonja Mauti, Mzee Paul Bukuku ametangulia na sisi tu nyuma yake.

No comments:

Post a Comment