STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, January 14, 2014

Hatimaye Ronaldo azika 'mzimu' wa Messi Ballon d’Or

Ronaldo akiwa na tuzo yake
Ronaldo akilia kwa furaha
Incomparable: Legendary striker Pele won an honourary prize at the Gala in Zurich
Gwiji Pele alipea tuzo katia usiku huo mjini Zurich
Emotional: The Brazilian couldn't keep back the tears
Emotional: The Brazilian couldn't keep back the tears
Mfalme wa soka: Gwiji wa Brazil, Pele alishindwa kujizuia kutoa machozi alipokuwa jukwaani
Out at the top: Retied Jupp Heynckes was named Coach of the Year after winning the Champions League
Retied Jupp Heynckes ameshinda tuzo kocha bora wa mwaka wa dunia baada ya kuiwezesha Bayern Muich kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya
Stunner: Zlatan Ibrahimovic won the Puskas prize for the best goal of the year for his goal against England
Mkali: Zlatan Ibrahimovic ameshinda tuzo ya Bao Bora la mwaka, maarufu kama Puskas 
Unreal: His overhead kick was during Sweden's 4-2 friendly win over England in November 2012
Bao lake tik tak Sweden ikiifunga 4-2 England Novemba mwaka 2012 ndilo bao bora la mwaka
Recognised: German keeper Nadine Angerer won the women's Player of the Year award
Kipa wa Ujerumani, Nadine Angerer ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa kike wa mwaka wa Dunia
Duo: Ronaldo and Angerer pose side-by-side after being named the best players in the world
Wawili: Ronaldo na Angerer baada ya kutajwa wanasoka bora wa dunia 
Shot stopper: Angerer in goal for the German national team during a friendly against Japan
Prize: She was part of the Germany team that won the women's European Championships last year
Taji: Angerer alikuwemo kwenye kikosi cha Ujerumani kilichoshinda Kombe la ubingwa wa Ulaya kwa wanawake
***
NYOTA wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo hatimaye ameufunika 'mzimu' wa Lionel Messi baada ya usiku wa jana kutangazwa kuwa Mwanasoka Bora wa Dunia.
Ronaldo ametwaa tuzo ya Ballon D’or kwa kumpiku Lionel Messi ambaye ni mpinzani wake mkubwa.
Mara baada ya kukabidhiwa, huku akionyesha kweli Ronaldo alipania kuibeba tuzo hiyo safari hii, alijikuta akimwaga chozi mbele ya gwiji la soka duniani, Pele.
Ronaldo mara ya mwisho aliibeba tuzo hiyo mwaka 2008 wakati akiitumikia Manchester United aliyoiwezesha kubeba ubingwa wa Ulaya na Dunia, kabla ya baadaye kuhamia Real Madrid.
Tokea tuzo hizo zilipoanza kuendeshwa na Fifa, hakuna mchezaji aliyewahi kushinda zaidi ya Messi ambaye alizitwaa mara nne mfululizo.
Lakini jana kwa mara ya kwanza, Ronaldo kama alivyokuwa akipewa nafasi hiyo kweli ameshinda na kumbwaga Messi. Huku Frank Ribbery akishika nafasi ya tatu.

No comments:

Post a Comment