STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, January 18, 2014

Abdi Kassim 'Babi' katika uzi wa UiTM ya Malaysia

Abdi Kassim 'Babi' (kulia-mbele) akiwa na wachezaji wenzake wa UiTM ya Malaysia, kiungo huyo mshambuliaji ametua katika timu hiyo mwishoni mwa mwaka jana kwa mkataba wa mwaka moja na tayari ameshaana kuonyesha makeke kwa kuifungia mabao kwenye mechi za kirafiki kujaindaa na Ligi kuu ya nchi hiyo.

No comments:

Post a Comment