STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, February 22, 2014

Chelsea yazidi kujikita kileleni yailaza Everton

Quick off the mark: John Terry reacts first as Slyvain Distin, Leighton Baines and Phil Jagielka can only watch
BAO la dakika ya lala salama lililofungwa na nahodha, John Terry limeiwezesha Chelsea kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya England, EPL, baada ya kupata ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Everton.
Terry alifunga bao hilo katika dakika ya tatu ya nyongeza ya mchezo huo uliochezwa 'darajani' ambao ulionekana kama ungeisha kwa sare na kuweka reheni nafasi ya timu hiyo kuendelea kuongoza msimamo.
Ushindi huo umeifanya Chelsea kufikisha jumla ya pointi  60 baada ya mechi 27, na kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo ambapo michezo mingine inaendelea jioni hii huku Arsenal ikiwa nyumbani inaongoza 3-0 mpaka sasa.

No comments:

Post a Comment