Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombelezo ya
msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Karatu Waziri wa Kilimo na Ushirika
Serikali ya awamu ya kwanza, Mhe. Patrick Qorro (72) aliyefariki dunia
usiku wa kuamkia Jumamosi baada ya kuugua kwa muda mfupi na kulazwa
hospitali ya Taifa ya Muhimbili kitengo cha Mifupa ( MOI) jijini Dar es
Salaam.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mjane wa marehemu Dkt Martha Qorro na
wanafamilia wengine nyumbani kwa aliyekuwa Mbunge wa Karatu Waziri wa
Kilimo na Ushirika Serikali ya awamu ya kwanza, Mhe. Patrick Qorro (72)
aliyefariki dunia usiku wa kuamkia Jumamosi baada ya kuugua kwa muda
mfupi na kulazwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kitengo cha Mifupa (
MOI) jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU

No comments:
Post a Comment