STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, March 28, 2014

Askofu Mhogolo afariki dunia

ASKOFU wa Dayosisi ya Central Tanganyika, Godfrey Mhogolo amefariki dunia nchini Afrika Kusini, alikokuwa amekwenda kwa matitabu. 
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kanisa la Angilikana Dodoma jana, ilisema kuwa Askofu Mhogolo kabla ya kufikwa na mauti alikuwa akitibiwa katika hospitali ya Milpark huko Johanesburg, Afrika Kusini. Askofu Mhogolo alikuwa askofu wa tano wa dayosisi ya Central Tanganyika na atazikwa katika viwanja vya kanisa Kuu la Roho Mtakatifu Mjini Dodoma.  
Hata hivyo Mchungaji Michael Nchimbi alisema mipango ya mazishi inaendelea na taarifa zitatolewa baadaye. 
matukio na vijana

No comments:

Post a Comment