STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, March 25, 2014

Breaking Newz: RC Mara aanguka ghafla na kufariki

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbPVGH0kLaqzzGwCgm726E5L95gHbG_mDaef9wmO82-Q0lpd1-mOyWXZ-PTlBEmDNHjqlcBi-15RKMB5mT_SvjzOsI_90ppINqe6gajrvEnYGTbIMpHcghInX30rtWkznYVf7xkMZyr2hC/s640/Sensa%2010.jpg
RC Tupa (aliyesimama) enzi za uhai wake
HABARI zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Mkuu wa Mkoa (RC) wa Mara, John Tupa ameanguka ghafla na kutokwa na povu wakati akitoka nje ya ofisi ya Mkuu wa Wilaya (DC) Tarime kuelekea kupanda gari yake tayari kuanza ziara ya Tarime.
taarifa hizo zinasema kuwa, RC huyo aliwahishwa hospitali ya Wilaya, lakini kwa bahati mbaya amepoteza uhai wake.
Tunaendelea kufuatilia na tutawafahamisha zaidi...!
MICHARAZO inawapa pole ndugu, jamaa na familia nzima ya Rc Tupa kwa msiba huo...Kwa Hakika Kila Nafsi Itaonja Mauti...BWANA Ametoa na Yeye Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe.

No comments:

Post a Comment