STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, March 22, 2014

Miaka mi3 Ajali ya Five Star, Hammer Q awakumbuka hivi!


IMG_6620 
JANA ilikuwa ni kumbukumbu ya miaka mitatu tangu vifo vya wanamuziki wa 5 Star waliokufa kwenye ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha basi lao aina ya Coaster iliyokuwa na namba za usajili T 361 BGE  iliyokuwa imebeba wanamuziki wa bendi hiyo ya Taarabu ya 5 Star wakitokea Kyela-Mbeya kueleka jijini Dar.
hama q 
Ajali hiyo ilitokea March 21 2011 majira ya saa 2 usiku ndani ya hifadhi za wanyama za Mikumi mkoani Morogoro baada ya gari hilo kuligonga kwa nyuma roli aina ya Scania lililokuwa na namba za usajili T 848 APE ambalo lililikua linavuta tela lenye namba za usajili T 559 BDL liliokuwa na mzigo wa mbao.
Sasa ikiwa ni miaka 3 tangu vifo hivyo Msanii Hammer Q miongoni mwa abiria waliyokua na basi hilo kabla ya kushukia njiani mjini Iringa na kuokoka kifo, ameandika ujumbe huu kwenye ukurasa wake wa Facebook unaosomeka hivi:
Screenshot_2014-03-21-17-12-17

No comments:

Post a Comment