STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, August 28, 2014

Bosi wa zamani wa TBS atupwa jela miaka mitatu

Charles Ekelege akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo ambapo alihukumiwa kutumikia kifungo cha mwaka mmoja baada ya kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka na kulipa faini ya sh.milioni 68.
Ekelege akiteta jambo na kijana aliyedaiwa kuwa ni mtoto wake.


 Ekelege akiteta jambo na familia yake akiwa Mahakamani hapo.

Hapa Ekelege akiwa amekaa nje ya Mahakama hiyo na familia yake  kabla ya kuhukumiwa.

 Askari polisi akiwa na familia ya Ekelege (wa pili kulia), wakati akitoka kwenye mahakama hiyo ----
Aaliye kuwa Mkurugenzi wa Shirika la viwango Tanzania TBS Bw Charles Hekelege, ametiwa hatiani na kufungwa miaka mitatu jela baada ya kukutwa na kosa la kuhujumu uchumi. Hekelege amefungwa jumla ya miaka mitatu jela kwa makosa matatu kila kosa moja mwaka mmoja kwa maana hiyo atatumikia mwaka moja gerezani.
www.habariza jamii.com

No comments:

Post a Comment