STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, August 28, 2014

Ronaldo ndiye Mchezaji Bora Barani Ulaya

http://www.free-top10.com/Data/Sites/1/Free/Free%20Video/Free-Video-Ronaldo-European-Football-Player-Of-The-Year.jpg 
http://www.sokkaa.com/wp-content/uploads/Neuer-Christiano-and-Robben.jpg
Waliokuwa kwenye Tatu Bora Ulaya
MSHAMBULIAJI nyota wa Ureno anayeichezea klabu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Ulaya.
Mkali huyo alipata tuzo hiyo baada ya kuwaangusha wachezaji wenzake wawili wanaoichezea Bayern Munich ya Ujerumani.
Ronaldo alitangazwa jioni hii kushinda tuzo hiyo mbele ya Arjen Robben na kipa Manuel Neuer wa Bayern Munich.

No comments:

Post a Comment