

Kocha Arsene Wenger amesema majeraha
ya Debuchy’s ‘Hayaonyeshi' kupona upesi na kuna hitajika kufanyika
uchunguzi wa kina zaidi waweze kugundua atakaa nje kwa muda gani .
Mchezaji huyo alianguka vibaya na kukanyaga kifundo chake cha mguu wa kushoto
katika kipindi cha pili cha mchezo kati ya Arsenal na Manchester City ulioisha kwa sare ya 2-2.
Debuchy, 29 alijiunga na
Arsenal katika majira ya kiangazi akichukua nafasi ya Bacary Sagna,aliyejiunga na Man City, na alicheza vizuri katika mechi
na klabu yake ya zamani katika uwanja Emirates.
No comments:
Post a Comment