STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, September 14, 2014

Hofu yatanda Arsenal kuumia kwa Debuchy

Gunners manager Arsene Wenger has admitted that Mathie Debuchy's injury 'doesn't look good'
Arsenal defender Mathieu Debuchy screams in pain after injuring his ankle against Manchester CityKLABU ya Arsenal ipo katika hofu kubwa baada ya beki wake wa kulia Mathieu Debuchy ameumia vibaya na haijajulikana bado  atakaa nje ya kiwanja  kwa muda gani  .
Kocha  Arsene Wenger amesema majeraha ya  Debuchy’s  ‘Hayaonyeshi' kupona upesi na kuna hitajika kufanyika uchunguzi wa kina zaidi waweze kugundua atakaa nje kwa muda gani .
Mchezaji huyo alianguka vibaya na kukanyaga kifundo chake cha mguu wa kushoto katika kipindi cha pili cha mchezo kati ya Arsenal na Manchester City ulioisha kwa sare ya 2-2.
Debuchy, 29 alijiunga na  Arsenal katika majira ya kiangazi akichukua nafasi ya Bacary Sagna,aliyejiunga na  Man City, na alicheza vizuri katika mechi na klabu yake ya zamani katika uwanja Emirates.

No comments:

Post a Comment