STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, February 5, 2015

Real Madrid waitumia salamu Atletico Madrid La Liga

The Colombia playmaker wheels away in celebration after scoring a delightful opener for Real during Wednesday's encounter
James Bond akishangilia bao la kwanza la Madrid
Real doubled their lead on 36 minutes when substitute Jese (left) finished from close-range against Sevilla
Jesse akifunga bao la pili la wenyeji Santiago Bernabeu
Gareth Bale (left) was a constant menace to the Sevilla defence throughout the match at the Santiago Bernabeu
Gareth Bale akiwajibika uwanjani
VINARA wa Ligi Kuu ya Hispania, Real Madrid imetuma salamu kwa wapinzani wao wa jadi Atletico Madrid watakaovaana nao siku ya Jumamosi baada ya kuicharaza Sevilla kwa mabao 2-1 katika mfululizo wa ligi hiyo maarufu kama La Liga.
Mabao ya  James 'Bond' Rodriguez la dakika ya 12 na lingine la Jesse dakika ya 36 yalitosha kuwapa ushindi muhimu vijana wa Santiago Bernabeu kwenye uwanja wao wa nyumbani kabla ya kuwafuata Atletico katika mechi ya kisasi.
Wageni walijipatia bao la kufutia machozi dakika 10 kabla ya kumalizika kwa pambano hilo kupitia kwa Iago Aspas.
Ushindi huo umeifanya Real Madrid ambayo iliwakosa nyota wake kadhaa kiwamo nahodha Cristiano Ronaldo anayetumikia adhabu.ya kadi nyeekundu, kufikisha pointi 54 na kujikita kileleni huku nyuma yao wakiwa ni Barcelona wenye pointi 50, na saba zaidi ya wapinzani wao wa Jumamosi walipo nafasi ya tatu.


No comments:

Post a Comment