![]() |
| Mashetani Wekundu ambao wamekuja kivingine msimu huu |
![]() |
| Watetezi Chelsea wanaopepesuka |
Manchester United yenye pointi sita inaweza kuiengua Man City ambayo yenye itacheza kesho dhidi ya Everton kwa kufikisha pointi 9 kama itashinda huku ikiombea Leicester City ipoteze mchezo wake wa leo dhidi ya Tottenham Hotspur.
Ratiba kamili ya ligi hiyo kwa leo, kesho Jumapili na Jumatatu ambapo Arsenal itakuwa na kibarua kigumu cha kuibakaribisha Liverpool ipo hapo chini jionee mwenyewe;
Leo Jumamosi:
Manchester United 11 : 45 Newcastle United
Crystal Palace 14 : 00 Aston Villa
West Ham United 14 : 00 AFC Bournemouth
Norwich City 14 : 00 Stoke City
Sunderland 14 : 00 Swansea City
Leicester City 14 : 00 Tottenham Hotspur
Kesho Jumapili
West Bromwich Albion 12 : 30 Chelsea
Everton 15 : 00 Manchester City
Watford 15 : 00 Southampton
Jumatatu
Arsenal 19 : 00 Liverpool





KLABU ya Southampton imekiri kuwa Manchester United wanamuwania winga wao wa kimataifa wa Senegal Sadio Mane, lakini ikatamka wazi kwamba mkali huyo hauzwi ng'o.
USHINDI una raha bhana we acha tu!, Meneja wa vinara wa Ligi Kuu ya England, Manchester City, Manuel Pellegrini ameanza kuchonga baada ya chama lake kupata ushindi katika mechi mbili mfululizo.
HII huenda ni taarifa isiyopendwa kusikika masikioni mwa mashabiki wa Chelsea, Vyombo vya Habari nchini Hispania vimetoa taarifa kuwa klabu ya Chelsea imefanikiwa kuizidi maarifa mahasimu wao Manchester United katika usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Hispania Pedro Rodriguez kutoka Barcelona.